Monday, January 02, 2006

HAZINA FIKRANI

Karibuni tujadili yahusuyo dunia. Yawapatayo binadamu wenye akili na utashi, lakini wenye hazina pevu fikrani kitika upembuzi mwanana. Ya binadamu na ubinadamu wake ni mengi. Husukumwa na ndoto, hisia, tamaa na husahau hazina ya kufikiri na nuru ya akili yake huangukia tamaani, nini hasa.....

1 Comments:

Blogger msangimdogo said...

Karibu sana kamanda

10:59 PM  

Post a Comment

<< Home